Audio player
Umuhimu Wa Ibada Ya Hijja Katika Uislam (Audio - Kiswahili)
20.7 MB
Umuhimu Wa Ibada Ya Hijja Katika Uislam (Audio - Kiswahili)
1- Mada hii inazunguzia: Umuhimu na nafasi ya Hijja katika Uislam na kwamba Hijja ni wajibu na inatekelezwa kwa ajili ya Allah peke yake, pia imezungumzia ruhusa aliyoitoa Mtume (s.a.w) ya kumfanyia Mzazi Hijja. 2- Mada hii inazunguzia: Umuhimu wa hija na umuhimu wa kuwafanyia hija wazazi walio fariki, na kuwafanyia wema wazazi kwa kuwawekea waqfu, na amezungumzia nyakati za hijja pia amebainisha ubora wa kuhiji ukiwa kijana.
Wachangiaji
WaandishiYasini Twaha Hassani
WahakikiYunus Kanuni Ngenda
Download all material files
2 files • 38 MB
Material files
Series playlist1 / 2About 38 MBShowing 1-2 of 2
CSV file for the full series
Downloads 2 records with direct source file URLs, estimated at 38 MB.
Social-friendly share text
Nitafurahi kushiriki hili nawe:
🎧 Umuhimu Wa Ibada Ya Hijja Katika Uislam (Kiswahili)
📝 1- Mada hii inazunguzia: Umuhimu na nafasi ya Hijja katika Uislam na kwamba Hijja ni wajibu na inatekelezwa kwa ajili ya Allah peke yake, pia imezungumzia ruhusa aliyoitoa Mtume (s.a.w) ya kumfanyia Mzazi Hijja. 2- Mada hii inazunguzia: Umuhimu wa hija na umuhimu wa kuwafanyia hija wazazi walio fariki, na kuwafanyia wema wazazi kwa kuwawekea waqfu, na amezungumzia nyakati za hijja pia amebainisha ubora wa kuhiji ukiwa kijana.
🔗 https://b.islamhouse.com/sw/audios/2773471